Kenny Bednarek

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bednarek kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia ya 2019
Bednarek kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia ya 2019

Kenneth Bednarek (alizaliwa 14 Oktoba 1998) ni mwanariadha wa Marekani kutoka Rice Lake, Wisconsin.

Tarehe 4 Agosti 2021, alishinda medali ya fedha kwa mbio za mita 200 katika mchezo wa Olimpiki msimu wa joto jijini Tokyo 2020[1]. Rekodi yake bora alitumia  dakika 19.68. Mnamo 2 Agosti 2021 alitumia muda wa dakika 20.01 katika mchuano robo wa mita 200 katika Olimpiki ya msimu wa joto jijini Tokyo[2]. Alifanikiwa kuingia mchuano wa mwisho kwa mda wa dakika 19.83[3] alioupata.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. IOC. "Tokyo 2020 Men's 200m Results - Olympic athletics". Olympics.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-11-27. 
  2. Justus Clevel. "Kenny Bednarek qualifies for Olympic finals in 200 meter sprint". https://www.weau.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-11-27. 
  3. Justus Clevel. "Kenny Bednarek qualifies for Olympic finals in 200 meter sprint". https://www.weau.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-11-27.