Kenneth John George

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kenneth John George

Kenneth John George ni mtaalamu wa bahari, mshairi kutoka nchini Uingereza anaishi Cornwall na anazungumza lugha ya Breton, Kiingereza na Kifaransa. George amechapisha zaidi ya vitu nane vinavyohusiana na lugha ya Kiselti ikiwa ni pamoja na kamusi za lugha ya kiselti. George alikuwa mwalimu wa elimu ya bahari katika Chuo Kikuu cha Plymouth.

Kenneth ana machapisho zaidi ya hamsini kuhusu elimu ya bahari ikiwa ni pamoja na kitabu cha mafunzo kuhusu maji kujaa na kupwa baharini ambacho kimeuza nakala zaidi ya 1000. George ni mjumbe wa kamati ya wawakilishi wa shirika la Kesva na Taves Kernewek (Bodi ya Lugha ya Cornish) ambalo linaendeleza lugha ya Cornish. George alistaafu mwaka 2006 na kuanza kujifunza lugha ya Kijapani.[1][2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Dr. Ken J. George - research sea shelf oceanography plymouth". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 10 February 2012. Iliwekwa mnamo 8 March 2008.  More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. "Bywnans Ke Published". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 4 July 2006. Iliwekwa mnamo 2023-05-31.  More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate= (help)
  3. "Who We Are". Kesva an Taves Kernewek. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 21 May 2008.  Check date values in: |archivedate= (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kenneth John George kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.