Kari Brattset Dale

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kari Brattset Dale
Kari Brattset Dale

Kari Brattset Dale (aliyezaliwa 15 Februari 1991) ni mchezaji wa mpira wa mikono kutoka Norwei wa Győri Audi ETO KC na timu ya taifa Norwei.[1]

Alicheza kwa mara ya kwanza katika timu ya taifa ya Norway mnamo Machi 2016.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "KARI BRATTSET DALE - Career & Statistics | EHF". www.eurohandball.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-12-17. 
  2. "404 | handball.no". handball.no - Norges Håndballforbund (kwa Norwegian). Iliwekwa mnamo 2021-12-17.