Nenda kwa yaliyomo

Kareem Abdul-Jabbar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Abdul-Jabbar mwaka 2014
Abdul-Jabbar mwaka 2014

Kareem Abdul-Jabbar (alizaliwa Aprili 16, 1947) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu aliyecheza misimu 20 kwenye Chama cha Mpira wa Kikapu Marekani cha Marekani NBA. Aliwahi kuvunja rekodi ya kuwa mchezaji mwenye thamani mara 6. Alichukuliwa kama mchezaji bora wa muda wote[1][2]. Baada ya kumaliza kazi ya michezi aliendelea kutunga vitabu hasa kuhusu historia ya Wamarekani Weusi.[3]

  1. "All-Time #NBArank: Kareem Abdul-Jabbar at No. 2". ESPN.com (kwa Kiingereza). 2016-02-10. Iliwekwa mnamo 2022-09-09.
  2. "The 30 Best NBA Players of All Time, Ranked". Complex (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-03-12. Iliwekwa mnamo 2022-09-09.
  3. William C. Rhoden (2017-06-14). "Locker Room Talk: Abdul-Jabbar is the best basketball player ever — period". Andscape (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2022-09-09.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kareem Abdul-Jabbar kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.