Nenda kwa yaliyomo

Justinian Rweyemamu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Justinian F. Rweyemamu (28 Septemba 1942 - 30 Machi 1982) alikuwa mmoja kati ya wanauchumi wa kwanza Tanzania.[1]

Mwaka 1958 alijiunga na St. Thomas More College Ihungo, shule ya sekondari ya Kikatoliki iliyopo Bukoba, Mkoa wa Kagera, mpaka 1961 alipohitimu.