Justinian Rweyemamu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Justinian F. Rweyemamu (28 Septemba 1942 - 30 Machi 1982) alikuwa mmoja kati ya wachumi wa kwanza Tanzania.[1]

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Mwaka 1958 alijiunga na St. Thomas More College Ihungo, shule ya sekondari ya Kikatoliki iliyopo Bukoba, Kagera, mpaka 1961 alipohitimu.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Justinian Rweyemamu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.