Jumuiya ya Zoolojia ya London

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jumuiya ya Wanyama ya London ( ZSL ) ni shirika linalojitolea kwa ajili ya uhifadhi wa wanyama na makazi yao duniani kote. Iilianzishwa mnamo 1826. Tangu 1828, imedumisha Zoo ya London, na tangu 1931 Hifadhi ya Whipsnade .[1]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. John Bastin (1970). "The first prospectus of the Zoological Society of London: new light on the Society's origins". Archives of Natural History 5 (5): 369–388. doi:10.3366/jsbnh.1970.5.5.369.