Juliana Azumah-Mensah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Juliana Jocelyn Azumah Mensah
Amezaliwa 15 Juni 1950
Koforidua , Ghana
Nchi Ghana
Kazi yake Mwanasiasa

Juliana Jocelyn Azumah Mensah (alizaliwa Koforidua, mji mkuu wa Mkoa wa Mashariki wa Ghana 15 Juni 1950) ni mwanasiasa wa Ghana. Alikuwa waziri wa masuala ya wanawake na watoto; pia ni mbunge wa bunge la HO mashariki.[1][2]

Maisha ya awali na elimu[hariri | hariri chanzo]

Juliana Azumah Mensah alisoma shule ya msingi huko Argotime-Kpetoe, mkoa wa Volta. Alipata elimu ya sekondari katika shule ya wasichana OLA huko HO mji mkuu wa mkoa wa Volta ambapo alipata kiwango cha kawaida cha GCE mnamo 1969.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]