Julen Aguinagalde

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mcheza mpira wa mikono Julen Aguinagalde
Mcheza mpira wa mikono Julen Aguinagalde

Julen Aguinagalde Akizu (alizaliwa 8 Desemba 1982) ni mchezaji wa mpira wa mikono wa Hispania wa PGE Vive Kielce na timu ya taifa ya Hispania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]