Josco boy
Josco Boy | |
---|---|
Jina la kuzaliwa | Jonathan Aoso |
Pia anajulikana kama | Josco boy |
Amezaliwa | 28 Mei 2009 |
Asili yake | Mtanzania |
Kazi yake | Mwanamuziki |
Aina ya sauti | vocal |
Miaka ya kazi | 2020- Present |
Jonathan Aoso (maarufu kwa jina lake la kisanii Josco boy; alizaliwa katika Kambi ya Wakimbizi Nyarugusu[1], 28 Mei 2009) ni msanii wa kurekodi wa bongo Flava kutoka Tanzania.
Kazi[hariri | hariri chanzo]
Alianza kazi yake ya muziki mnamo 2020 akiwa na umri wa miaka 11 huku akiuza Miwa.[2]
Diskografia[hariri | hariri chanzo]
Nyimbo na Albamu Zinazovuma[hariri | hariri chanzo]
- 2022: Napendwa
- 2022: Moyo Unauma
- 2022: A Boy from Africa
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Josco Boy (en). FilmFreeway. Iliwekwa mnamo 2023-04-09.
- ↑ Josco Boy's profile - Pianity (en). pianity.com. Iliwekwa mnamo 2023-04-09.