John Paul Magalle Shibuda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

John Paul Magalle Shibuda (amezaliwa 23 Februari, 1950) ni mbunge wa jimbo la Maswa katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Mengi kuhusu John Paul Magalle Shibuda (25 Aprili 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.