Nenda kwa yaliyomo

John Babiiha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
John Babiiha

John Babiiha (17 Aprili 1913Machi 1982) alikuwa mwanasiasa wa Uganda, mfugaji na mkulima. Alikuwa makamu wa rais wa kwanza wa jamhuri ya Uganda chini ya bunge la wananchi wa Uganda ambalo liliongozwa na Apollo Milton Obote.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. URN. "Former VP Babiiha's house turned into church". The Observer - Uganda (kwa Kiingereza (Uingereza)). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-12-03. Iliwekwa mnamo 2022-03-02.
  2. "Uganda's Vice Presidents over the years: John Babiiha". New Vision (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-03-02.