Jessie J

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jessie J akiitumbuiza huko Los Angeles, Desemba 2017
Jessie J akiitumbuiza huko Los Angeles, Desemba 2017

Jessica Ellen Cornish (maarufu kama Jessie J; alizaliwa 27 Machi 1988) ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo wa Uingereza.

Alizaliwa na kukulia London, alianza kazi yake ya jukwaani, akiwa na umri wa miaka 11.

Musical notes.svg Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jessie J kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.