Jessica von Bredow-Werndl

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jessica von Bredow-Werndl

Jessica von Bredow-Werndl (Amezaliwa 16 Februari 1986).Ni Mjerumani anaye endesha farasi.[1][2]

Von Bredow-Werndl alifuzu kwenye fainali ya kombe la duinia kwenye mashindano ya farasi ya mwaka 2014huko Lyon baada ya kumaliza nafasi ya nne katika msimamo wa ligi ya ulaya. Alishinda kwenye mashindano ya kufuzu kwenye ligi ya ulaya huko Gothenburg 2013/2014.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://data.fei.org/Person/Detail.aspx?personFeiID=10010680
  2. http://www.fei.org/bios/Person/10010680/VON_BREDOW_WERNDL_Jessica
  3. "Germany’s von Bredow-Werndl wins Reem Acra qualifier at Gothenburg". FEI (kwa Kiingereza). 2014-03-01. Iliwekwa mnamo 2021-12-03.