James E. Lyons

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

James E. Lyons, Sr. (alizaliwa 1943 hivi) ni msimamizi wa kitaaluma wa Marekani ambaye amehudumu kama rais wa vyuo na vyuo vikuu kadhaa vya watu weusi katika historia.

Yeye ni rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Jimbo la Bowie, Chuo Kikuu cha Jimbo la Jackson, na Chuo Kikuu cha Jimbo la California, Dominguez Hills.

Pia alikuwa rais wa mpito wa Chuo Kikuu cha Dillard, Chuo Kikuu cha Wilaya ya Columbia, na Chuo cha Concordia Alabama.

Alikuwa katibu wa Tume ya Elimu ya Juu ya Maryland.

Maisha ya awali na elimu[hariri | hariri chanzo]

Lyons alizaliwa na kukua katika mji uliopo pwani uliojulikana kwa jina la New Haven, Connecticut huko Marekani.[1][2] Shahada zake zote alizipata katika chuo kikuu cha Connecticut.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Facebook, Twitter, Show more sharing options, Facebook, Twitter, LinkedIn (2006-11-19). "President of CSU Dominguez Hills to retire". Los Angeles Times (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-07-26. 
  2. http://www.jsums.edu/margaretwalkercenter/files/2013/03/lyons.pdf?d50037