Nenda kwa yaliyomo

Jackson Kiptanui

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jackson Kiplagat Kiptanui ni mwanasiasa wa Kenya na mwanachama wa United Republican Party(URP) na alichaguliwa kuwakilisha eneo bunge la Keiyo Kusini katika bunge la kitaifa la Kenya tangu uchaguzi wa bunge wa 2007. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Members Of The 10th Parliament Archived Juni 16, 2008, at the Wayback Machine. Parliament of Kenya. Accessed June 19, 2008.