Nenda kwa yaliyomo

Jack Butland

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jack Butland.

Jack Butland (alizaliwa 10 Machi 1993)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Uingereza ambaye anacheza kama kipa katika klabu ya Stoke City na timu ya taifa ya Uingereza.[2][3][4]

Butland alijitenga kuwa mlinzi wa kwanza wa St Andrew mwaka 2012-13 na alihamishiwa klabu ya Stoke City Januari 2013 kwa ada ya £ 3.3 milioni.[5][6]

Alikopwa tena na Birmingham na alicheza katika timu hii mwaka 2012-13, januari 2014 Butland alisajiliwa kwa mkopo Barnsley kabla ya kwenda Leeds United na Derby County.[7][8]

  1. Jack Butland: Overview". Premier League. Retrieved 6 April 2020
  2. Sky Sports. "Jack Butland – Player Profile". https://www.skysports.com/jack-butland
  3. London Evening Standard. "Butland: Stoke was the right move". https://www.standard.co.uk/sports/football/butland-stoke-was-the-right-move-8547307.html
  4. FourFourTwo. "The highs and lows of Jack Butland’s career". https://www.fourfourtwo.com/news/highs-and-lows-jack-butlands-career
  5. The FA. "Euro 2018 ambassador Jack Butland writes for TheFA.com". https://www.thefa.com/news/2018/mar/16/jack-butland-u17-euro-memories-160318
  6. ESPN. "Crystal Palace sign England keeper Jack Butland from Stoke City". https://www.espn.com/soccer/story/_/id/37607824/crystal-palace-sign-england-keeper-jack-butland-stoke-city
  7. The FA / England Football. "Jack Butland joins Derby County on loan". https://www.thefa.com/news/2014/oct/20/jack-butland-joins-derby-county-on-loan-from-stoke-city
  8. Reuters. "Rangers goalkeeper Butland to miss Old Firm derby after internal bleeding". https://www.reuters.com/sports/soccer/rangers-goalkeeper-butland-miss-old-firm-derby-after-internal-bleeding-leg-2025-01-02/
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jack Butland kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.