Indiana Pacers

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyumba ya Bankers mwaka 2012

Indiana Pacers ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Indianapolis, Indiana. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Victor Oladipo.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Indiana Pacers kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.