Hermoni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

33°24′58″N 35°51′27″E / 33.41611°N 35.85750°E / 33.41611; 35.85750Coordinates: 33°24′58″N 35°51′27″E / 33.41611°N 35.85750°E / 33.41611; 35.85750

Mlima Hermoni kutoka mbali.

Hermoni (kwa Kiarabu: جبل الشيخ, jabal-ash-Shaikh, yaani "mlima wa shehe"; kwa Kiebrania: הר חרמון‎‎, Har Hermon) ni mlima wa Siria na Lebanoni ulio mrefu kuliko yote ya safu ya Lebanoni Ndogo na ya Siria nzima, ukiwa na kimo cha m 2,814 juu ya UB.

Kileleni kuna theluji ya kudumu na ni chanzo cha mto Yordani.

Unatajwa katika Biblia (Zaburi 42; 133:3; Wimbo Ulio Bora 4:8).