Hassan Mtenga
Hassan Mtenga (kutoka Mkoa wa Mtwara) ni mwanasiasa wa Tanzania ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi jimbo la Mtwara Mjini tangu Novemba 2020. [1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "CCM dominates Parliamentary, Ward seats in Mtwara Region". Daily News. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-12-04. Iliwekwa mnamo 2021-09-01.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |