Hande Yener

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hande Yener

Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Makbule Hande Özyener
Amezaliwa 12 Januari 1973 (1973-01-12) (umri 51)
Asili yake Istanbul, Uturuki
Aina ya muziki Pop
Kazi yake Mwimbaji
Miaka ya kazi 2000–hadi leo
Tovuti Tovuti Rasmi

Hande Yener (amezaliwa kama Makbule Hande Özyener) (mnamo tar. 12 Januari 1973 mjini Istanbul) ni mwimbaji wa muziki wa pop, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa rekodi za muziki kutoka nchi Uturuki.

Muziki[hariri | hariri chanzo]

Albamu'[hariri | hariri chanzo]

  • Senden İbaret (2000)
  • Sen Yoluna Ben Yoluma (2002)
  • Aşk Kadın Ruhundan Anlamıyor (2004)
  • Apayrı (2006)
  • Nasıl Delirdim? (2007)
  • Hipnoz (2008)
  • Hayrola? (2009)
  • Hande'ye Neler Oluyor? (2010)
  • Teşekkürler (2011)
  • Kraliçe (2012)

EP[hariri | hariri chanzo]

  • Extra (2001)
  • Hande Maxi (2006)
  • Hande'yle Yaz Bitmez (2010)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu muziki wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hande Yener kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Wikimedia Commons ina media kuhusu: