Hallasan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Hallasan

Hallasan ni mlima wa volikano wenye kimo cha m 1,950 juu ya usawa wa bahari.

Uko nchini Korea Kusini; ndio mrefu kuliko yote ya nchi hiyo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hallasan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.