Nenda kwa yaliyomo

Hüseyin Er

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hüseyin Er (14 Januari 1985 - 16 Mei 2021) alikuwa mchezaji kandanda kiziwi mzaliwa wa Kituruki ambaye alikulia na akiishi zaidi London pia alikuwa mwanachama wa timu ya taifa ya viziwi nchini uturuki.[1] [2]

  1. "İşitme engelli milli futbolcu Hüseyin Er vefat etti", 16 May 2021. Retrieved on 15 October 2021. (tr) 
  2. "Engellerini futbolla unutuyor", 9 May 2017. Retrieved on 15 October 2021. (tr) 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hüseyin Er kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.