Grace Mendonça

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Grace Maria Fernandes Mendonça (alizaliwa tarehe 17 Oktoba mwaka 1968 jijini Januária) ni wakili wa Brazil, profesa wa chuo kikuu, na alikuwa Mwanasheria Mkuu nchini Brazil, aliyeteuliwa na rais Michel Temer baada ya kujiuzulu kwa Fábio Medina Osório.[1][2]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Anatarajiwa kuhudhuria mkutano wa WHO huko Geneva, Uswisi.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Planalto anuncia demissão de advogado-geral da União" (kwa Kireno). G1. 9 September 2016. Iliwekwa mnamo 25 March 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. Reinaldo Azevedo (9 September 2016). "Temer confirma Grace Mendonça como nova advogada-geral da União". Veja. Iliwekwa mnamo 25 March 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. "Grace Mendonça participará de conferência da OMS em Genebra, na Suíça - ISTOÉ Independente", ISTOÉ Independente, 2018-09-13. (pt-BR) 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Grace Mendonça kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.