Nenda kwa yaliyomo

G8

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kundi la G8 lilikuwa likikusanya viongozi wa nchi 8 zilizoendelea sana kabla ya Russia kusimamishwa mwaka 2014 kwa sababu ya kuteka Krimea.[1][2][3] Tangu hapo, kundi limebaki na nchi za G7 pamoja na Umoja wa Ulaya.

  1. "Thinking Ahead: The 'One-Time' G-22 Looks Useful". nyt.com. Iliwekwa mnamo 2014-03-01.
  2. FACTBOX: The Group of Eight: what is it? Ilihifadhiwa 5 Machi 2009 kwenye Wayback Machine., Reuters
  3. "Russia Is Ousted From Group of 8 by U.S. and Allies". The New York Times. Iliwekwa mnamo 2014-03-25.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu G8 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.