Nenda kwa yaliyomo

G8

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kundi la G8 lilikuwa likikusanya viongozi wa nchi 8 zilizoendelea sana kabla ya Russia kusimamishwa mwaka 2014 kwa sababu ya kuteka Krimea.[1][2][3] Tangu hapo, kundi limebaki na nchi za G7 pamoja na Umoja wa Ulaya.

  1. "Thinking Ahead: The 'One-Time' G-22 Looks Useful". nyt.com. Iliwekwa mnamo 2014-03-01.
  2. FACTBOX: The Group of Eight: what is it? Ilihifadhiwa 5 Machi 2009 kwenye Wayback Machine., Reuters
  3. "Russia Is Ousted From Group of 8 by U.S. and Allies". The New York Times. Iliwekwa mnamo 2014-03-25.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: