Francesco Fortunato

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Francesco Fortunato akishiriki michezo ya kutembea

Francesco Fortunato (alizaliwa 13 Desemba 1994) ni mwanariadha wa mbio za kutembea wa Italia, ambaye alishiriki Michuano ya riadha ya dunia ya mwaka 2017. Pia alishiriki katika michezo ya Olimpiki ya majira ya joto ya mwaka 2020 katika kilomita 20.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Athletics FORTUNATO Francesco - Tokyo 2020 Olympics". olympics.com (kwa en-us). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-10-11. Iliwekwa mnamo 2021-10-11. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Francesco Fortunato kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.