Wilaya ya Fizi
Mandhari
(Elekezwa kutoka Fizi)
Wilaya ya Fizi ni wilaya ya kusini katika mkoa wa Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya wenyeji wa Fizi ni Kibembe (Ebembe). Wilaya hiyo inajulikana kama sehemu ambayo rais Joseph Kabila alizaliwa. Ndipo palipoanza kundi la Mai-Mai.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Fizi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |