Festus Bulugu Limbu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Festus Bulugu Limbu (amezaliwa 19 Aprili, 1956) ni mbunge wa jimbo la Magu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Festus Bulugu Limbu". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. 

Viungo vya nnje[hariri | hariri chanzo]