Europe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Europe
Europe performing in Lakselv, Norway 2008.
Europe performing in Lakselv, Norway 2008.
Maelezo ya awali
Asili yake Upplands Väsby, Uswidi
Aina ya muziki Hard rock, Glam metal
Miaka ya kazi 1979–1992
1999 (kuungana tena)
2003–mpaka sasa
Studio Hot Records, Epic, Sanctuary
Ame/Wameshirikiana na Tone Norum, Easy Action, Dokken, Glenn Hughes, Brazen Abbot, Clockwise, Last Autumn's Dream
Tovuti www.europetheband.com
Wanachama wa sasa
Joey Tempest
John Norum
John Levén
Mic Michaeli
Ian Haugland
Wanachama wa zamani
Kee Marcello
Tony Reno
Peter Olsson
Marcel Jacob

Europe ni bendi ya muziki wa rock kutoka nchini Uswidi, ambayo ilianzishwa mjini Upplands Väsby mnamo 1979 ikiwa chini ya jina la Force. Bendi ilianzishwa na mwimbaji Joey Tempest na mpiga gitaa John Norum. Muziki mzima wa bendi hii hutumia metali zito na elementi kadhaa za hard rock au rock ya kigumu. Tangu kuanzishwa kwake, Europe imepata kutoa albamu nane za studio, tatu albamu za live, tatu kompilesheni na video nane.