Nenda kwa yaliyomo

Esther Onyenezide

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Esther Chinemerem Onyenezide (alizaliwa 30 Juni, 2003) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake kutoka nchini Nigeria anayecheza kama kiungo wa klabu ya mpira ya wanawake ya Hispania, Madrid CFF, na timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria.[1]

Mwaka 2022, aliteuliwa na FIFA kama Mchezaji Bora wa Mchezo baada ya kufunga magoli mawili wakati wa ushindi wa 3-1 dhidi ya Canada.[2]

Kazi ya kimataifa

[hariri | hariri chanzo]

Esther aliwakilisha Nigeria katika Kombe la Dunia la FIFA la Vijana chini ya miaka 20 mwaka 2022 huko Costa Rica, na alikuwa akiichezea FC Robo Queens kabla ya kuhamia Madrid CFF kwa mkataba wa misimu mitatu mnamo 2024.[3]

  1. Akinbo, Peter (2023-10-24). "Onyenezide in cloud nine after Falcons invite". Punch Newspapers. Iliwekwa mnamo 2024-03-15.
  2. "TSG salute Becho, Matsukubo, Onyenezide and Rijsbergen". fifa.com. Iliwekwa mnamo 2024-03-15.
  3. Bajela, Ebenezer (2024-02-21). "Onyenezide, Ajakaye join Madrid CFF from Robo Queens". Punch Newspapers (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2024-03-15.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Esther Onyenezide kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.