Emma Watson
Mandhari
Emma Watson | |
---|---|
Amezaliwa | Emma Watson 15 Aprili 1990 Uingereza |
Kazi yake | mwigizaji |

Emma Charlotte Duerre Watson (alizaliwa 15 Aprili 1990) ni mwigizaji, mwanamitindo, na mwanaharakati wa Uingereza.
Anajulikana kutokana na majukumu yake ya kutoa burudani katika Blockbuster na independent films, na pia kwa kazi yake kwenye haki za wanawake. Watson ameorodheshwa kama miongoni mwa waigizaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi duniani.[1][2][3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-11-27. Iliwekwa mnamo 2022-02-20.
- ↑ "Emma Watson is named Hollywood's highest paid female actor". The Guardian. 10 Februari 2010. Iliwekwa mnamo 28 Desemba 2020.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Emma Watson: $14 million". CBS News. Iliwekwa mnamo 28 Desemba 2020.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Emma Watson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |