Egoli Magic

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Egoli Magic ni klabu ya mpira wa kikapu inayopatikana Johannesburg, Afrika Kusini. Timu hiyo ilianzishwa mwaka 1994, kwa sasa inashirika ligi kuu ya mpira wa kikapu nchini.[1] Ni timu yenye mafanikio makubwa kwenye BNL, ikishinda ubigwa mara tano, mwaka 2015, 2016, 2019, 2020 na 2021.[2]

Mataji[hariri | hariri chanzo]

  • Mabingwa (5): 2015, 2016, 2019, 2020, 2021[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Egoli Magic", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2021-12-22, iliwekwa mnamo 2022-09-02 
  2. "Egoli Produces Magic – Basketball National League" (kwa en-GB). Iliwekwa mnamo 2022-09-02. 
  3. "Egoli Magic – Basketball National League" (kwa en-GB). Iliwekwa mnamo 2022-09-02.