Eddy Bee
Eddy Besong, anafahimika kwa jina la Eddy Bee akiwa jukwaani, ni mwanamuziki wa Afrobeat na RNB' wa Kameruni.[1] Amekuwa kwenye muziki tokea mwaka 2009, akiachia kandamseto mwaka 2020 kama sehemu ya kikundi cha Avinu C akiwa na Naomi Achu na H Bolo. Eddy Bee aliachia albamu yake ya kwanza iitwayo The Eddy Bee Show Novemba 2018.
Diskografia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ 237showbiz.com.
- ↑ youtube.
- ↑ cdbaby.com.
- ↑ youtube.
- ↑ auletch.com.
- ↑ youtube.
- ↑ bamendaonline.net. Jalada kutoka ya awali juu ya 2017-07-08. Iliwekwa mnamo 2022-04-23.
- ↑ africanmuzikmag.com. Jalada kutoka ya awali juu ya 2022-01-25. Iliwekwa mnamo 2022-04-23.
- ↑ dailymotion.com.