Dunia Susi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dunia Susi (alizaliwa tarehe 10 Agosti 1987) ni mwanamke mchezaji wa mpira wa miguu wa kimataifa kutoka Uingereza. Anacheza kwa klabu ya FA WSL, Notts County, na pia amewakilisha Uingereza kwenye Michezo ya Dunia ya Wanafunzi.[1]

marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Brits Fail To Break China", Fair Game, 9 August 2007. Retrieved on 30 July 2009. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dunia Susi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.