Dele Aiyenugba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Bamidele Mathew Aiyenugba (alizaliwa Jos, Nigeria, 20 Novemba 1983) ni mchezaji wa soka wa Nigeria anayecheza katika klabu ya Kwara United F.C.. Jina lake, Bamidele, linamaanisha "Nifuate nyumbani" katika lugha ya Yoruba.[1]

Baada ya msimu wa 13 nchini Israel akiwa na timu nne, Aiyenugba alirudi Nigeria kabla ya msimu wa 2020-21 ili kucheza na Kwara United.[2]

Mafanikio[hariri | hariri chanzo]

  • Nigerian Premier League: 4
2002, 2003, 2005, 2007
  • Nigerian FA Cup: 1
2005
  • Nigerian Super Cup: 1
2003
  • African Champions League: 2
2003, 2004
  • African Super Cup: 2
2004, 2005

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dele Aiyenugba kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.