David Denis (mjasiriamali)
Mandhari
David Denis (alizaliwa mwaka 1998) ni kijana mjasiriamali nchini Tanzania aliyechaguliwa kuingia katika tuzo za vijana wajasiriamali za Anzisha Prize [1], tuzo ambazo ziliwakutanisha vijana wa Kiafrika kutoka katika nchi mbalimbali kama Tanzania, Madagaska, Ghana na baadhi ya nchi nyingine.
David ni mjasiriamali anayetumia ubunifu wa kubadilisha takataka kuwa katika matumizi mengine.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-02-25. Iliwekwa mnamo 2022-02-25.
| Makala hii kuhusu wasifu wa Mtanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |