Uwanja wa michezo wa Dan Anyiam

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Dan Anyiam Stadium)
Ramani ya Nigeria

Uwanja wa Dan Anyiam ni uwanja wa michezo wenye matumizi mbalimbali uliopo katika Jimbo la Imo nchini Nigeria.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Uwanja huo umepewa jina la Daniel Anyiam, makamu nahodha wa kwanza wa timu ya kitaifa ya mpira wa miguu ya Nigeria.

Mnamo mwaka wa 2019, gavana wa Jimbo la Imo Emeka Ihedioha wakati wa "Ujenzi wa Mradi wa Imo" alitoa idhini ya ukarabati wa Uwanja wa Dan Anyiam pamoja na miradi mingine.[1]

Matumizi[hariri | hariri chanzo]

Uwanja huu unatumika zaidi kwa mechi za chama cha mpira wa miguu na pia ni uwanja wa nyumbani wa timu ya mpira ya Heartland F.C

Uwezo[hariri | hariri chanzo]

Uwanja huu una uwezo wa kuchukua watu 10,000.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "‘Imo’s new path will galvanise South East’s sports development’". guardian.ng (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2020-12-27. 
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Dan Anyiam kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Viunga vya nje[hariri | hariri chanzo]