Daisy Nakalyango

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Daisy Nakalgayo
Nchi Uganda
Kazi yake Mchezaji

Daisy Nakalyango (alizaliwa 15 Machi 1994) ni mchezaji wa kike wa badmintonkutoka Uganda . [1]

Alishiriki katika Michezo ya Jumuiya ya Madola ya miaka 2010 na 2014 [2] [3].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Players: Daisy Nakalyango". bwfbadminton.com. Badminton World Federation. Iliwekwa mnamo 8 December 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Nakalyango Daisy". cwgdelhi2010.infostradasports.com. Delhi 2010. Iliwekwa mnamo 8 December 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "Daisy Nakalyango Biography". g2014results.thecgf.com. Glasgow 2014. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-03-08. Iliwekwa mnamo 8 December 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)