Cotopaxi
Jump to navigation
Jump to search
Cotopaxi ni mlima wa Andes wenye asili ya volikano ulioko katika nchi ya Ekwador (Amerika Kusini).
Urefu wake ni mita 5,897 juu ya usawa wa bahari.
Cotopaxi ni mlima wa Andes wenye asili ya volikano ulioko katika nchi ya Ekwador (Amerika Kusini).
Urefu wake ni mita 5,897 juu ya usawa wa bahari.