Cotopaxi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Volikano ilivyo.

Cotopaxi ni mlima wa Andes wenye asili ya volikano ulioko katika nchi ya Ekwador (Amerika Kusini).

Urefu wake ni mita 5,897 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]