Cloe Lacasse

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Cloe Lacasse

Cloé Zoé Eyja Lacasse (alizaliwa 7 Julai, 1993) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Kanada[1][2] ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Arsenal ya Ligi Kuu ya Wanawake na timu ya taifa ya Kanada.[3][4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Kigezo:Canada Soccer player
  2. Pascal, Randy (May 12, 2011). "Cloe Lacasse takes scholarship at Iowa". Sudbury.com.  Check date values in: |date= (help)
  3. Downey, Sophie. "Lacasse and Little punish Manchester United to reignite Arsenal’s title hopes", The Observer, 2024-02-17. (en-GB) 
  4. "Cloe Lacasse: Arsenal Women sign Canada forward from Benfica on permanent deal". Sky Sports (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-10-06. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Cloe Lacasse kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.