Nenda kwa yaliyomo

Chuo Kikuu cha Kilimo na Maliasili cha Botswana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chuo Kikuu cha Kilimo na Maliasili cha Botswana (BUAN) kinachojulikana rasmi kama Chuo cha Kilimo cha Botswana (BCA) ni Chuo Kikuu cha kilimo kilichopo Gaborone, Botswana.[1]

  1. "BUAN". www.buan.ac.bw. Iliwekwa mnamo 2024-07-17.