Chosen Becky
Chosen Becky | |
Amezaliwa | Februari 20 2000 Masaka, Uganda |
---|---|
Nchi | Uganda |
Kazi yake | Mwanamuziki na mtunzi |
Rebecca Kukiriza anajulikana kama Chosen Becky ni mwanamuziki[1] na mtunzi wa nyimbo nchini Uganda.[2][3][4][5]
Kazi ya muziki[hariri | hariri chanzo]
Chosen Becky aligunduliwa na Joseph Kiwangwa baada ya kumvutia kwenye shindano la kuimba huko Masaka, Uganda.[6][7]Becky alianza kazi yake ya muziki mwaka 2017 na kuibuka na Bankuuza kama wimbo wake wa kwanza[4]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Hanson Baliruno collaborates with Chosen Becky".
- ↑ Lyatuu, Justus. "Chosen Becky now aims to overcome Bankuza shadow". The Observer – Uganda.
- ↑ "Chosen Becky: I got pregnant at school after my boyfriend promised me chips". 9 March 2021. Check date values in:
|date=
(help) - ↑ 4.0 4.1 Rafiki, Sunrise. "Chosen Becky denied rights to perform her songs – Sunrise".
- ↑ Jjingo, Ernest; Atiluk, Nathan (5 January 2021). "Uganda: A Year in Entertainment". allAfrica.com. Check date values in:
|date=
(help) - ↑ Ssejjombwe, Isaac. "I promised my mum that I will remain humble – Chosen Becky".
- ↑ Mabz, Chris (16 March 2021). "Baby Chosen Becky Screams Out loud, Rolls On The Floor As She Thanks Zari For Posting Her Song On Instagram Stories". Check date values in:
|date=
(help)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Chosen Becky kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |