Chihuahua, Chihuahua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu za Mji wa Chihuahua, Chihuahua



Jiji la Chihuahua
Nchi Mexiko
Jimbo Chihuahua
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,133,814
Tovuti:  www.municipiochihuahua.gob.mx

Chihuahua ni mji mkuu katika jimbo la Chihuahua. Kuna wakazi 748,551 (2005), na pamoja na rundika la mji ni 800,000. Mji upo m 1460 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 8,372 km².

Mji ulianzishwa na Antonio Deza y Ulloa mwaka 1709.

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Chihuahua, Chihuahua kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.