Cape Town Tigers

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Cape Town Tigers ni klabu ya mpira wa kikapu nchini Afrika Kusini yenye makao yake jijini Cape Town.[1] Timu hiyo inapatikana katika kitongoji cha Gugulethu.[2] Ilianzishwa mwaka 2019, makocha ni Raphael Edwards na Vincent Ntunja. Mwaka 2021, klabu ilishinda ubingwa wa kitaifa Afrika Kusini ukiwa msimu wake wa kwanza katika mashindano hayo.

Mataji[hariri | hariri chanzo]

Michuano ya kitaifa Afrika Kusini

  • Mabingwa (2): 2021, 2022

Ligi ya Mpira wa Kikapu Afrika

  • Mshindi wa Robo fainali[3] (1): 2022

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. We Are The Tigers (en). www.capetowntigers.com. Iliwekwa mnamo 2022-09-02.
  2. "Cape Town Tigers", Wikipedia (in English), 2022-08-23, retrieved 2022-09-02 
  3. Cape Town Tigers at the ROAD TO BAL 2022 2021 (en). FIBA.basketball. Iliwekwa mnamo 2022-09-02.