Boston Celtics

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Boston Celtics
Boston Celtics logo
Boston Celtics logo
Ukanda Eastern Conference
Daraja Atlantic Division
Imeanzishwa 1946
Historia Boston Celtics (1946–)
Uwanja TD Garden
Mji Boston, Massachusetts
Rangi ya timu       Green       White       Black
Mmiliki
Meneja mkuu Wycliffe "Wyc" Grousbeck
Stephen Pagliuca
H. Irving Grousbeck
Kocha mkuu Brad Stevens
D-League affiliate Maine Red Claws
Ubingwa 17 (1957, 1959, 1960, 1961, 1962, 1963, 1964, 1965, 1966, 1968, 1969, 1974, 1976, 1981, 1984, 1986, 2008)
Mataji ya ukanda 20 (1957, 1958, 1959, 1960, 1961, 1962, 1963, 1964, 1965, 1966, 1968, 1969, 1974, 1976, 1981, 1984, 1985, 1986, 1987, 2008)
Mataji ya daraja
Tovuti rasmi nba.com/celtics


Boston Celtics ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Boston, Massachusetts. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Kemba Walker.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Boston Celtics kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.