Billy Modise

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Billy Modise alikuwa mkongwe wa African National Congress (ANC) na balozi wa zamani. Alizaliwa tarehe 18 Desemba 1930 huko Bloemfontein na kufariki tarehe 20 Juni 2018. [1]

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Billy Modise alizaliwa tarehe 8 Desemba 1930 huko Bloemfontein, [2] Orange Free State ( Mkoa wa Free State ).

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Alipata udhamini wa Anglikana ambao ulimwezesha kujiandikisha kwa shule ya upili huko Modeerport. Baada ya kumaliza shule, ambopo alisoma kati ya mwaka 1950 na 1955 Modise alifanya kazi katika duka la jumla na baadaye alifanya kazi ya daktari ili kutafuta pesa za kumwezesha kuendeleza masomo yake katika chuo kikuu. Mnamo Januari 1955, alijiunga na Chuo Kikuu cha Fort Hare kusomea udaktari. [3] Akiwa mwanafunzi wa Fort Hare, alikutana na wanasiasa kama vile Profesa ZK Matthews na Govan Mbeki ambao walimtia moyo kujihusisha na siasa. Alichaguliwa kuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa ANC wa tawi la Fort Hare, na baadaye akahudumu kama katibu wa Baraza la Wawakilishi wa Wanafunzi. Pia alikua mwanachama wa Umoja wa Kitaifa wa Wanafunzi wa Afrika Kusini (NUSAS) akihudumu kama mwanachama mtendaji. Mnamo 1959 aliacha kusomea udaktari hadi digrii . [4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Billy Modise". South African History Online. Iliwekwa mnamo 23 August 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Former chief of state protocol Billy Modise dies". 
  3. "Former chief of state protocol Billy Modise dies". 
  4. "Billy Modise - the Nordic Africa Institute". 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Billy Modise kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.