Bilbao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha za Bilbao.

Bilbao (kwa Kieuskara: Bilbo) ni mji wa Hispania kaskazini, makao makuu ya jumuia ya kujitegemea ya Nchi ya Kieuskara.

Tarehe 1 Januari 2015 wakazi wake walikuwa 345,141, lakini rundiko la mji lina watu 1,037,847.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bilbao kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.