Bianca Ghelber

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bianca Perie kwenye Mashindano ya Timu ya Uropa ya 2011
Bianca Perie kwenye Mashindano ya Timu ya Uropa ya 2011

Bianca Florentina Ghelber (née Perie; amezaliwa 1 Juni 1990) ni mrusha nyundo kutoka Romania.[1] Urushaji wake bora zaidi ni mita 74.18, uliofikiwa mnamo Agosti katika michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Bianca Perie Bio, Stats, and Results | Olympics at Sports-Reference.com". web.archive.org. 2020-04-18. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-12-16. Iliwekwa mnamo 2021-11-01. 
  2. "Bianca Florentina GHELBER | Profile | World Athletics". www.worldathletics.org. Iliwekwa mnamo 2021-11-01. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bianca Ghelber kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.