Benjamin Fernandes

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Benjamin Fernandes (amezaliwa 25 Novemba 1992) ni mjasiriamali wa Tanzania aliyewahi kuwa mtangazaji wa runinga.

Alifanya kazi katika kampuni ya The Bill and Melinda Gates Foundation iliyopo nchini Marekani. Alikuwa Mtanzania wa kwanza[1] kusoma Stanford Graduate School of Business kama Africa MBA Fellow [2] na mdogo kabisa kiumri kukubaliwa katika chuo cha Stanford Graduate School of Business.

Mnamo mwaka 2017 alifanikiwa kuwa Mtanzania wa kwanza kujiunga na masomo katika chuo cha Stanford Graduate School of Business na pia Harvard John F. Kennedy School of Government.[3]

Fernandes ni mwanzilishi wa NALA, jukwaa la kidigitali nchini Tanzania linalowezesha watu kufanya miamala ya kifedha bila kuuunganishwa kwenye mtandao maarufu kama intaneti[4]. NALA inakuwa kwa kasi ambapo imeendelea kuwa katika nchi kadhaa Afrika na nje ya Africa[5].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Qorro, Edward (2015-08-23). "FEATURE : Young Tanzanian’s journey to the prestigious Stanford - News". The Citizen. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-09-18. Iliwekwa mnamo 2016-09-01.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
  2. "Archived copy". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-09-18. Iliwekwa mnamo 2016-09-01.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
  3. "Tanzanian making history in America at Harvard University". www.ippmedia.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 24 October 2017. Iliwekwa mnamo 25 March 2018.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  4. https://www.ippmedia.com/en/news/meet-tanzania-genius-pioneering-offline-digital-app-payments
  5. https://www.nala.money/
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Benjamin Fernandes kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.