Belfast

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Belfast

Belfast ni mji mkuu wa Eire ya Kaskazini na mji mkubwa wa nchi hii mwenye wakazi 267,500.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Demography. NISRA. Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-11-13. Iliwekwa mnamo 2009-07-06.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Belfast kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.