Beatrice Matumbo Shellukindo
Jump to navigation
Jump to search
Beatrice Matumbo Shellukindo ni mbunge wa jimbo la Kilindi katika bunge la taifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mengi kuhusu Beatrice Matumbo Shellukindo (25 Aprili 2006). Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
![]() |
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |