Beatrice Matumbo Shellukindo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Beatrice Matumbo Shellukindo ni mbunge wa jimbo la Kilindi katika bunge la taifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Beatrice Matumbo Shellukindo". 25 Aprili 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.